test

MGETA AZISAKA KURA ZA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA

 

Mgombea Ubunge kupitia Chama cha ukonbozi wa UMMA CHAUMMA, Bi, Veronica Mgeta akizungumza na wananchi wa  katika kata ya Kayenze.


Mgeta anaendelea kufanya kampeni zake katika maeneo mbali ya Jimbo Hilo,ili kushinda Ubunge wa Jimbo Hilo.

MGETA AZISAKA KURA ZA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA MGETA AZISAKA KURA ZA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA Reviewed by VISION MEDIATZBLOG on September 25, 2025 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.