Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo ambaye
pia ni Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ndugu Ado Shaibu Ado leo ameshiriki misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho Marehemu Jenista Mhagama iliyofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Benedict, Abasia ya Peramiho, Parokia ya Peramiho, Jimbo Kuu la Songea Mkoani Ruvuma leo tarehe 15 Desemba 2025.
ADO ASHIRIKI IBADA YA KU MUAGA MHAGAMA PERAMIHO
Reviewed by VISION MEDIATZBLOG
on
December 15, 2025
Rating:
Reviewed by VISION MEDIATZBLOG
on
December 15, 2025
Rating:



No comments: