test

WATENDAJI WAWILI WAVUNJIKA WANAPOKUWA KIJIJI WALICHO AJIRIWA BABATI DC.

 


Imeelezwa kuwa Watendaji WAWILI katika Kijiji Cha Koko may kilichopo Kata ya Kiru halmashauri ya Babati Mkoani Manyara wamepata Matatizo ya kupata Ajali kwakugongwa na Pikipiki na kupelekea KUVUNJIKA viungo vyao Kila wanapo Ripoti Kijijini hapo




Hayo yamebainishwshwa Leo na  Diwani wa  Kata ya Kiru Mhe John Sanka wakati akiwasilisha Taarifa ya Maendeleo ya Kata hiyokatika Baraza la madiwani Cha Robo ya 3 kilichoketi Aprilii 29.2026



Mhe.Sanka amemuomba mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuajiri mtendaji mwingine BAADA ya watendaji WAWILI kupata madhila hayo mfululizo.

Akijibu hoja Hiyo Katibu Tawala wa Wilaya ya Babati CPA. Thobias Abwaro Amesema SUALA la watendaji kupata Matatizo ya Ajali wanapokuwa Kijijini hapo linapaswa kuchunguzwa kabla ya kuochukua Hatua ya kuajiri mtendaji mungune ili kupata mwarobaini wa Tatizo Hilo.

WATENDAJI WAWILI WAVUNJIKA WANAPOKUWA KIJIJI WALICHO AJIRIWA BABATI DC. WATENDAJI WAWILI WAVUNJIKA WANAPOKUWA KIJIJI WALICHO AJIRIWA BABATI DC. Reviewed by VISION MEDIATZBLOG on April 29, 2026 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.